Wednesday, December 28, 2016

Tuesday, December 20, 2016

Tuesday, December 13, 2016

Tuesday, November 1, 2016

Monday, October 31, 2016

Sunday, October 30, 2016

Wednesday, October 26, 2016

Tuesday, October 25, 2016

Monday, October 24, 2016

CCM Majangili Wa Demokrasia

   Na C. P Lekule       CCM Majangili Wa Demokrasia Ila muungano wa wanaokemea yaliyopo unaweza kutuweka huru tusimame kwenye ukweli hadi kufa. Viongozi wa dini tanzania wengi ni wanafiki sana taifa likiwa kwenye magumu kama yaliyopo sasa hawatoi neno, MUNGU sema neno juu ya hawa watu wajue wajibu wao kwani wamejisahau sana, ila sadaka mbali...

Friday, October 14, 2016

Thursday, September 8, 2016

Tuesday, August 30, 2016

Dikteta

::Madikteta wote duniani hufanana:: Kutoka Maktaba (JF by Mzee Mwanakijiji  11 Feb 2011 ) #UKUTA Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano: a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine...

Monday, August 29, 2016

JIFUNZE KUMUACHA AENDE

JIFUNZE KUMUACHA AENDE • Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha. MUACHE AENDE ! • Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi... MWACHE...

Hadithi ya kusisimua

KAMA UNA MOYO MWEPESI USISOME STORY HII, WENGI WAMELIA SANA !! “Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha anaumizwa. Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua kinywa changu. Lakini ilibidi...

Sunday, August 28, 2016

KATIBA-Haki ya uhuru na mawazo

Na C.P Lekule KATIBA 3-Hebu angalieni katiba inavyokanyagwa kanyagwa hapa kuna ibara zinalihusu BUNGE LIVE jamani watanzania tusiwe wajinga woa wakitumia mipasho kutuhukumu sisi tutumie sheria. HAKI YA UHURU NA MAWAZO Uhuru wa Maoni Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,...

KATIBA-Haki na wajibu muhimu

Na C.P Lekule KATIBA 1-HAYA NI MAELEZO KATIKA KATIBA YA JAMUHURI YA TANZANIA-gundua jambo hapa kwamba polisi wanaotoa matamko ya ajabu ajabu ni kinyume cha katiba hii kama wanatumia katiba nyingine sawa ila kama ni hii matamko yote ni haramu,yana ubaguzi,yanaondoa usawa,yanatuvunjia heshima,katiba hii haijasema kua polisi au waziri au DC au OCD au IGP kua ana haki zaidi na ana...

KATIBA-ijue Haki ya kuishi

Na C.P Lekule KATIBA 2-Mtanzania hebu ijue haki yako ya kuishi kikatiba,hao bongo lala wanaosema ukija Dar es salaam usikae sana,wanalala wakiamka asubuhi bila hata kufikiri wanatoa matamko ya kipuuzi yanayokinzana na katiba katiba yetu inasema hivi;- HAKI YA KUISHI Haki ya kuwa hai Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 14. Kila mtu anayo haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii hifadhi...

Friday, August 12, 2016

HUENDA NI KWA SABABU YA LOWASSA KUWAKIMBIA

Na C.P Lekule HUENDA NI KWA SABABU YA LOWASSA KUWAKIMBIA Pamoja na sera za wapinzani kua na soko,na hili nalo huenda ni moja wapo, Ni ndoto ambayo nitaiandika baada ya kufikisha ujumbe huu, Ila pia kuna jambo hapa ninalowaza kabla eti ni kweli yote haya ni sababu ya wanasiasa nguli watatu waliohamia UKAWA ndio wanaofanya serekali inatapatapa na kuongea mambo yaliyopo nje ya katiba...

Tuesday, August 2, 2016

JE NIFUNGUE KESI MAHAKAMA GANI KWA HAWA WANAONICHOCHEA KUA MUHALIFU?

JE NIFUNGUE KESI MAHAKAMA GANI KWA HAWA WANAONICHOCHEA KUA MUHALIFU? Na C.P Lekule Huyu mtu hanikwazi peke yangu kwa kauli zake,je ule mfano wa msichana akibakwa kama mavazi yalikua yanachochea yeye kubakwa naye anapewa adhabu hapa je haiwezi kutumika hiyo sheria,mimi kiukweli kuna baadhi ya viongozi wa nchi wananishawishi kuwa gaidi,yaani nakua na msukumo hadi wa kujiunga na vikundi...

Wananchi Hawajaribiwi

Naomba Mh.Raisi Maghufuli kama haupendi kujaribiwa na Wananchi pia hawapendi kujaribiwa,tena ukiendelea kuwajaribu hawa wananchi wakibadilika utajutia kua Raisi wa Tanzania,na wala hufuati nyayo za mwalimu Nyerere na wala huwezi,mambo mengi unakurupuka,nchi haiendeshwi kwa matamko...

Monday, July 4, 2016

Saturday, July 2, 2016

KILIMANJARO by CV

KUTOKA KWA CP Lekule KWENDA KWA ;_Waziri wa utalii                Mh.Jumanne Magembe YAH;KAZI ZA MSIMU HASA GUIDE NA POTER MLIMA KILIMANJARO. Barua kwako waziri wa utalii JUMANNE MAGEMBE Uandishi wa bazua za wazi...

Funzo Kwa kizazi cha Utawala

Na CP Lekule Tatizo kubwa nimeliona,wenye macho ambao kwa bahati nzuri ni wengi zaidi ya vipofu, nao nadhani wameliona,wapo walioliona wakashindwa kulisema japo wanatamani kusema,wengine wanakuja chinichini nakutuombia tuseme sisi tuliojaliwa kutokua na dhambi ya woga kwa mtu bali...

Saturday, May 21, 2016

Saturday, April 23, 2016

Wednesday, April 20, 2016

KABWE KWELI KWELI

Rais John Pombe Magufuli AKIHUTUBIA kwenye uzinduzi wa darala la Kigamboni jijini Dar es Salaam mchana huu, Rais John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Bw. Wilson Kabwe kutokana na ufisadi katika utekelezwaji wa mikataba mitatu, inayohusu...

Sunday, April 10, 2016

Sunday, March 27, 2016

Sunday, March 20, 2016

Friday, March 18, 2016