Showing posts with label Na C.P Lekule. Show all posts
Showing posts with label Na C.P Lekule. Show all posts

Tuesday, June 12, 2018

Thursday, May 3, 2018

Neno Kilimanjaro

Ugunduzi Wa neno Kilimanjaro
Baada ya ufuatiliaji ya mda mrefu kuhusu neno Kilimanjaro nimegundua kua neno kilimanjaro ni muunganiko Wa neno la kiswahili na kichagga ambapo neno la kiswahili lilitajwa kwa lafudhi ya kichagga neno hilo ni Kilima-Chyaro hii r inakidoti chini hivyo katika matamshi maana kubwa ilikua ni mtu yuko kwa mbali akiuona mlima alioshindwa kuutambua kwani kila baridi ilipoongezeka seluji nayo iliongezeka na kuufanya mlima kuonekana mrefu hivyo ikapelekea mtu kusema kilima-kyaro, kyaro maana yake kinaota au kinarefuka au kinazidi kukua yaani Kilima kinaota mzungu akashindwa kutamka na kusema Kilimanjaro by C.P Lekule

Tuesday, April 10, 2018

Sunday, March 18, 2018

Calvin Lekule-Saying about life


Uwepo Wa mtu mrefu na umuhimu wake ni kwasababu ya mtu mfupi.

Uwepo Wa tajiri unapimwa na uwepo Wa masikini.

Faida ukiilinganisha na faida bado hujapata jibu mpaka awepo hasara.

Ukitaka mfupi aishi kama mrefu unamuumiza mfupi 80% na mrefu, 20% na wewe uliyetaka iwe unakua mfupi 100%

Ukitaka tajiri aishi kama masikini unamuumiza masikini 80% na tajiri 20% na wewe uliyetaka iwe unakua masikini 100%

Ukitaka malaika aishi kama shetani unawafanya wote hawa wawe mashetani 100% na wewe unaetaka wawe hivyo unakua shetani 100%.

Wednesday, January 17, 2018

Friday, January 5, 2018

Saturday, December 16, 2017

Monday, October 23, 2017

Monday, June 26, 2017

Wednesday, June 21, 2017

Wednesday, March 29, 2017

MJUE MTANZANIA anayeshikilia rekodi Afrika ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa muda mfupi.

MJUE MTANZANIA anayeshikilia rekodi Afrika ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa muda mfupi.

Gaudence Lekule (31) kutoka Marangu anashikilia rekodi ya kuwa Mwafrika wa kwanza kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa muda mfupi wa saa 8 na sekunde 36.

Rekodi ya kwanza iliwekwa na Simon Mtui aliyetumia saa 9 na sekunde 20 mwaka 2006.

Mpaka sasa rekodi ya dunia inashikiliwa na Karl Egloff kutoka Ecuador aliyetumia saa 6 na sekunde 53.

Kijana huyu anayeshiriki michezo ya kupanda milima kwa kasi (Mountain Run) amemuomba Waziri mpya wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo ,Dkt Mwakyembe kutupia jicho michezo mingine kwani ina nafasi kubwa ya kutangaza na kuletea sifa taifa.

Meet Tanzanian mountain runner Mr Lekule who hold the record as first African to spend shortest time to climb and slump Mt Kilimanjaro.

Lekule (31), from Kiraracha, Marangu became the first African to spend 8 hours and 36 for a climb and return trip to from the mountain peak.

The first record of climbing Mount
Kilimanjaro was set by Simon Mtui by
spending 9:20 in 2006.

Lekule who holds the record of being the
first Mount Kilimanjaro climber who used
shortest time, called also for cooperation
from private institutions and the Government in sponsoring athletes for Mountain Run so that they become better internationally.

“I like to promote Tanzania worldly and I
have already received many invitations to go out to compete in the Mountain Run.

The World Record is held by Karl Egloff from Ecuador, who spent 6:53 to climb and slump Mount Kilimanjaro in 2014.

Thursday, January 5, 2017

Wednesday, December 28, 2016