Tuesday, August 30, 2016

Dikteta

::Madikteta wote duniani hufanana:: Kutoka Maktaba (JF by Mzee Mwanakijiji  11 Feb 2011 ) #UKUTA Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano: a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine...

Monday, August 29, 2016

JIFUNZE KUMUACHA AENDE

JIFUNZE KUMUACHA AENDE • Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha. MUACHE AENDE ! • Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi... MWACHE...

Hadithi ya kusisimua

KAMA UNA MOYO MWEPESI USISOME STORY HII, WENGI WAMELIA SANA !! “Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha anaumizwa. Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua kinywa changu. Lakini ilibidi...

Sunday, August 28, 2016

KATIBA-Haki ya uhuru na mawazo

Na C.P Lekule KATIBA 3-Hebu angalieni katiba inavyokanyagwa kanyagwa hapa kuna ibara zinalihusu BUNGE LIVE jamani watanzania tusiwe wajinga woa wakitumia mipasho kutuhukumu sisi tutumie sheria. HAKI YA UHURU NA MAWAZO Uhuru wa Maoni Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,...

KATIBA-Haki na wajibu muhimu

Na C.P Lekule KATIBA 1-HAYA NI MAELEZO KATIKA KATIBA YA JAMUHURI YA TANZANIA-gundua jambo hapa kwamba polisi wanaotoa matamko ya ajabu ajabu ni kinyume cha katiba hii kama wanatumia katiba nyingine sawa ila kama ni hii matamko yote ni haramu,yana ubaguzi,yanaondoa usawa,yanatuvunjia heshima,katiba hii haijasema kua polisi au waziri au DC au OCD au IGP kua ana haki zaidi na ana...

KATIBA-ijue Haki ya kuishi

Na C.P Lekule KATIBA 2-Mtanzania hebu ijue haki yako ya kuishi kikatiba,hao bongo lala wanaosema ukija Dar es salaam usikae sana,wanalala wakiamka asubuhi bila hata kufikiri wanatoa matamko ya kipuuzi yanayokinzana na katiba katiba yetu inasema hivi;- HAKI YA KUISHI Haki ya kuwa hai Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 14. Kila mtu anayo haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii hifadhi...

Friday, August 12, 2016

HUENDA NI KWA SABABU YA LOWASSA KUWAKIMBIA

Na C.P Lekule HUENDA NI KWA SABABU YA LOWASSA KUWAKIMBIA Pamoja na sera za wapinzani kua na soko,na hili nalo huenda ni moja wapo, Ni ndoto ambayo nitaiandika baada ya kufikisha ujumbe huu, Ila pia kuna jambo hapa ninalowaza kabla eti ni kweli yote haya ni sababu ya wanasiasa nguli watatu waliohamia UKAWA ndio wanaofanya serekali inatapatapa na kuongea mambo yaliyopo nje ya katiba...

Tuesday, August 2, 2016

JE NIFUNGUE KESI MAHAKAMA GANI KWA HAWA WANAONICHOCHEA KUA MUHALIFU?

JE NIFUNGUE KESI MAHAKAMA GANI KWA HAWA WANAONICHOCHEA KUA MUHALIFU? Na C.P Lekule Huyu mtu hanikwazi peke yangu kwa kauli zake,je ule mfano wa msichana akibakwa kama mavazi yalikua yanachochea yeye kubakwa naye anapewa adhabu hapa je haiwezi kutumika hiyo sheria,mimi kiukweli kuna baadhi ya viongozi wa nchi wananishawishi kuwa gaidi,yaani nakua na msukumo hadi wa kujiunga na vikundi...

Wananchi Hawajaribiwi

Naomba Mh.Raisi Maghufuli kama haupendi kujaribiwa na Wananchi pia hawapendi kujaribiwa,tena ukiendelea kuwajaribu hawa wananchi wakibadilika utajutia kua Raisi wa Tanzania,na wala hufuati nyayo za mwalimu Nyerere na wala huwezi,mambo mengi unakurupuka,nchi haiendeshwi kwa matamko...