::Madikteta wote duniani hufanana::
Kutoka Maktaba (JF by Mzee Mwanakijiji
11 Feb 2011 ) #UKUTA
Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano:
a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine...
Tuesday, August 30, 2016
Monday, August 29, 2016
JIFUNZE KUMUACHA AENDE

JIFUNZE KUMUACHA AENDE
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.
MUACHE AENDE !
• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...
MWACHE...
Hadithi ya kusisimua
KAMA UNA MOYO MWEPESI USISOME STORY HII,
WENGI WAMELIA SANA !!
“Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu
aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na
kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu
alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari
kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha
anaumizwa. Nilishindwa hata namna ya kuanza
kufumbua kinywa changu. Lakini ilibidi...
Obama afunguka Kuhusu UKUTA
https://youtu.be/cwB8HNGI...
Sunday, August 28, 2016
KATIBA-Haki ya uhuru na mawazo
Na C.P Lekule KATIBA 3-Hebu angalieni katiba inavyokanyagwa kanyagwa hapa kuna ibara zinalihusu BUNGE LIVE jamani watanzania tusiwe wajinga woa wakitumia mipasho kutuhukumu sisi tutumie sheria.
HAKI YA UHURU NA MAWAZO
Uhuru wa
Maoni Sheria ya
1984 Na.15 ib.6
18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,...
KATIBA-Haki na wajibu muhimu
Na C.P Lekule KATIBA 1-HAYA NI MAELEZO KATIKA KATIBA YA JAMUHURI YA TANZANIA-gundua jambo hapa kwamba polisi wanaotoa matamko ya ajabu ajabu ni kinyume cha katiba hii kama wanatumia katiba nyingine sawa ila kama ni hii matamko yote ni haramu,yana ubaguzi,yanaondoa usawa,yanatuvunjia heshima,katiba hii haijasema kua polisi au waziri au DC au OCD au IGP kua ana haki zaidi na ana...
KATIBA-ijue Haki ya kuishi
Na C.P Lekule KATIBA 2-Mtanzania hebu ijue haki yako ya kuishi kikatiba,hao bongo lala wanaosema ukija Dar es salaam usikae sana,wanalala wakiamka asubuhi bila hata kufikiri wanatoa matamko ya kipuuzi yanayokinzana na katiba katiba yetu inasema hivi;-
HAKI YA KUISHI
Haki ya kuwa hai
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6
14. Kila mtu anayo haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii
hifadhi...
Friday, August 12, 2016
HUENDA NI KWA SABABU YA LOWASSA KUWAKIMBIA
Na C.P Lekule
HUENDA NI KWA SABABU YA LOWASSA KUWAKIMBIA
Pamoja na sera za wapinzani kua na soko,na hili nalo huenda ni moja wapo,
Ni ndoto ambayo nitaiandika baada ya kufikisha ujumbe huu,
Ila pia kuna jambo hapa ninalowaza kabla eti ni kweli yote haya ni sababu ya wanasiasa nguli watatu waliohamia UKAWA ndio wanaofanya serekali inatapatapa na kuongea mambo yaliyopo nje ya katiba...
Tuesday, August 2, 2016
JE NIFUNGUE KESI MAHAKAMA GANI KWA HAWA WANAONICHOCHEA KUA MUHALIFU?
JE NIFUNGUE KESI MAHAKAMA GANI KWA HAWA WANAONICHOCHEA KUA MUHALIFU?
Na C.P Lekule
Huyu mtu hanikwazi peke yangu kwa kauli zake,je ule mfano wa msichana akibakwa kama mavazi yalikua yanachochea yeye kubakwa naye anapewa adhabu hapa je haiwezi kutumika hiyo sheria,mimi kiukweli kuna baadhi ya viongozi wa nchi wananishawishi kuwa gaidi,yaani nakua na msukumo hadi wa kujiunga na vikundi...
Wananchi Hawajaribiwi

Naomba Mh.Raisi Maghufuli kama haupendi kujaribiwa na Wananchi pia hawapendi kujaribiwa,tena ukiendelea kuwajaribu hawa wananchi wakibadilika utajutia kua Raisi wa Tanzania,na wala hufuati nyayo za mwalimu Nyerere na wala huwezi,mambo mengi unakurupuka,nchi haiendeshwi kwa matamko...
Subscribe to:
Posts (Atom)
- Recent
- Weekly
- Comment
Recent
Weekly
-
https://youtu.be/WagER5fWTNc