Saturday, October 24, 2015

Monday, October 19, 2015

Sunday, October 11, 2015

Tuesday, October 6, 2015

G Laz Calvin Lekule

BONGE LA VIDEO LINALOITWA G.LAZ. Nilianza na video kibao nikaja na Viva mara Amarula Copy to Ukawa leo kua wa kwanza kuangalia video hii kali kukumbuka matukio ya wapigania amani ya nchi yetu,tafadhali like halafu share na rafiki yako pia nita ku add kua rafiki yan...

Sunday, October 4, 2015

Friday, October 2, 2015

Thursday, October 1, 2015

Taarifa zilizotufikia punde ni kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi Leticia Musori amesimamishwa uongozi ndani ya Chama hicho sababu ikiwa ni mvutano wake na Mwenyekiti Ndg James Mbatia.

Taarifa zilizotufikia punde ni kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi Leticia Musori amesimamishwa uongozi ndani ya Chama hicho sababu ikiwa ni mvutano wake na Mwenyekiti Ndg James Mbatia. Leticia tangu aongee na Waandishi wa habari pale Landmark hakurudi Ofisini....

Kilimanjaro New CD

If you need Kilimanjaro CD please contact us No;-+2557676796...

Goli la Mkono Hili Hapa

JE NI GOLI LA MKONO?Lubuva alisema kuutakua na jumla ya vituo 72000 (sabin na mbili elfu) na kila kituo kina wapiga kura450,ukizidisha jumla ni wapiga kura milion 32 na laki nne wakat kwa mujibu wa tume imeandikisha watu mil. 24+ kwa haraka haraka kuna vituo hewa zaid ya elfu ishirini , je hakuna dalilii za goli la mkono hapo??? Ni mtazamo wangu ...

TANGANYIKA PACKERS

Habari wakuu,Leo mgombea wa Urais kupitia chama cha CHADEMA kwa mwamvuli wa UKAWA anaendelea na kampeni, leo yuko Dar es Salaam na kwa sasa yuko viwanja vya Tanganyika packers.=========Anaeongea kwa sasa ni Tundu Lissu na anaongelea utaratibu wa kukabidhi madaraka endapo watashinda...