Tuesday, April 10, 2018

Sunday, March 18, 2018

Calvin Lekule-Saying about life


Uwepo Wa mtu mrefu na umuhimu wake ni kwasababu ya mtu mfupi.

Uwepo Wa tajiri unapimwa na uwepo Wa masikini.

Faida ukiilinganisha na faida bado hujapata jibu mpaka awepo hasara.

Ukitaka mfupi aishi kama mrefu unamuumiza mfupi 80% na mrefu, 20% na wewe uliyetaka iwe unakua mfupi 100%

Ukitaka tajiri aishi kama masikini unamuumiza masikini 80% na tajiri 20% na wewe uliyetaka iwe unakua masikini 100%

Ukitaka malaika aishi kama shetani unawafanya wote hawa wawe mashetani 100% na wewe unaetaka wawe hivyo unakua shetani 100%.

Wednesday, January 17, 2018

Friday, January 5, 2018

Saturday, December 16, 2017