
MJUE MTANZANIA anayeshikilia rekodi Afrika ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa muda mfupi.
Gaudence Lekule (31) kutoka Marangu anashikilia rekodi ya kuwa Mwafrika wa kwanza kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa muda mfupi wa saa 8 na sekunde 36.
Rekodi ya kwanza iliwekwa...